Imechapishwa Tarehe: March 19th, 2019
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano Serikalini kuyatangaza na kuyatetea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano yanayoendelea nchini.
Pia...
Imechapishwa Tarehe: March 7th, 2019
Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi William Lukuvi ametoa majibu ya mgogoro wa Ardhi wa Shamba la Singu lililopo Mkoani Manyara wilayani Babati kata Ya Sigino
Akiwa Katika ziara yake ya kazi Mkoani hu...
Imechapishwa Tarehe: February 19th, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti amepokea ugeni wa Mawaziri Nane wa Serikali ya awamu ya tano Wilayani Simanjiro katika kijiji cha kimotorok leo ziara ambayo inalenga ku...