Imechapishwa Tarehe: September 16th, 2020
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Joseph Mkirikiti amewapongeza wafanyakazi wote wa Wakala wa Maji Vijijini RUWASA Mkoa Manyara kwa kujitahidi kufikisha huduma ya maji Mkoani humo.
Mhe.Mkirikiti...
Imechapishwa Tarehe: September 8th, 2020
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Joseph Mkirikiti amewaagiza Wakurugenzi wote wa Halmashauri zilizopo Mkoani kwake kuhakikisha wanawapa mikopo waendesha bodaboda kutoka kwenye asilimia nne inayotengwa kuto...
Imechapishwa Tarehe: September 2nd, 2020
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amesema kuwa Wananchi wa Mkoa wa Manyara ndio wanufaika wakubwa wa maendeleo yaliyoletwa na serikali ya awamu ya tano tangu iingie ma...