• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Waandishi Manyara wanolewa kuandika habari za magonjwa ya kuambukiza

Imechapishwa Tarehe: August 16th, 2020

Imeandikwa Na: Mohamed Hamad

Waandishi wa habari mkoani Manyara wamepatiwa mafunzo ya namna ya kuandika habari za magonjwa ya mlipuko ukiwemo Covid 19.

Mafunzo hayo yamefadhiliwa na umoja wa vilabu vya waandishi wa habari nchini UTPC kuwezesha waandishi wa habari kuwa na uelewa wa kuandika habari za magonjwa ya maambukizi kwa usahihi

Afisa afya mkoa wa manyara, Evance Simkoko akifundisha mada kuhusu mzunguko wa ueneaji wa magonjwa alitaja aina mbalimbali za magonjwa na njinsi mzunguko wa maambukizi ya magonjwa hayo ulivyo na kuwataka waukate mzunguko huo kuzuia ueneaji.

Alisema mwandishi wa habari anayeandika habari za afya anatakiwa kufahamu aina za magonjwa na namna yanavyoambukizwa kwa usahihi ili atoe elimu kwa umma.

"Mwandishi anatakiwa kufahamu visababishi vya magonjwa,sehemu magonjwa yanapoishi,njia za magonjwa hayo kutoka,kukohoa ama kupiga chafya, Njia ya ugonjwa unavyosambaa,sehemu ya kuingilia mdudu kutokana na ugonjwa kwa mnyama ama binadamu aliye hatari kupata ugonjwa.

Kwa upande wake mwaandishi wa habari mwandamizi, Musa Juma aliyefundisha namna ya kuandika habari ya magonjwa ya mlipuko aliwataka waandishi hao kuwa makini na habari zinazohusu utaalamu kuwa wawe wanapata kutoka kwa vyanzo sahihi.

"Waandishi andikeni habari kwa misingi ya sheria, ukweli na usahihi wa habari kuepuka ukakasi na uchochezi ambao kuna sheria kali ambazo zinaweza kuwatia hatiani" alisema mwezeshaji na mwandishi Musa

Alisema kwa mujibu wa sheria mwandishi hapaswi kuandika habari za afya bila kuwa na chanzo sahihi na pia habari ya takwimu bila kuwa na mtaalamu anayehusika na masuala ya takwimu.

Mwenyekiti wa club ya waandishi wa habari, Zacharia Mtigani akimkaribisha mgeni rasmi kufungua mafunzo hayo alisema mafunzo hayo ni muhimu kwa waandishi hao ili waweze kuandika habari kwa usahihi.

Mgeni rasmi katika mafunzo hayo, Mkuu wa wilaya ya Babati, Lazaro Jacobo Twange, aliwataka waandishi wa habari kusoma sheria ili waweze kufanya kazi hizo kwa uadilifu.

Alisema tathnia ya habari ni muhimu kwa  taifa lolote kwani ndio inayounganisha wananchi na Serikali yao jambo ambalo linarahisisha na kuleta mafanikio.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.