• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Kamilisheni Ujenzi wa Maboma ya Sekondari Ifikapo Juni, 30 - Katibu Mkuu TAMISEMI

Imechapishwa Tarehe: May 29th, 2019

Serikali imetenga fedha kiasi cha shilingi Bilioni 29.9 kukamilisha ujenzi wa maboma ya shule za sekondari yapatayo 2,392 nchini ili kuwawezesha wanafunzi wote kuweza kujiunga na elimu ya sekondari katika mwaka 2019.

Akiongea katika ziara yake ya kikazi mkoani Manyara katika shule ya sekondari Nangara na Kwaangw zilizopo Halmashauri ya Manyara Mji Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amesema Serikali imejipanga katika kuahakikisha mpango wake wa kuwapatia elimu ya sekondari watoto wa Kitanzania inakamilika na hivyo imehakikisha maboma yote ya shule za sekondari yanakamilika kwa wakati na kuanza kutumika kabla ya mwishoni mwa mwezi Juni,mwaka huu.

Amewataka watendaji wote kuongeza kasi ya kusimamia ujenzi wa maboma hayo na kwamba yanakamilika kwa fedha zilizopangwa na kwa ubora unaotakiwa.

Aidha, Nyamhanga amesema Mkoawa Manyara una maboma 139 ambayo baadhi yamekamilika nay ale ambayo bado amemtaka Katibu Tawala Mkoa Manyara Bw. Mussa Masaile na timu yake kusimamia kikamilifu ujenzi huo ikiwa ni pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa mingine nchini.

Vilevile amesema Serikali inapeleka fedha mashuleni shilingi Bilioni 28.5 kupitia Mpango wa Serikali wa Elimu Bila Malipoili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu bila kulipia kuanzia shule za awali, msingi hadi kidato cha nne kwa lengo la kumpatia elimu kila motto wa Kitanzania.

Aidha, amesema kiasi kingine cha fedha shilingi 35.2 Bilioni kitatolewa na Serikali katika mwezi huu ili kukamilisha maboma yote ambayo yamesalia.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari Babati Mji amesema katika mwaka 2019 hakuna aliyekosa nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza na wataendelea kusimamia miradi ya maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo ile ya Lipa Kulingana na Matokeo (EP4R).

Mhandisi Nyamhanga anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Manyara kujionea utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta za elimu, afya, barabara, mikopo ya vikundi na utawala bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.