• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

ALEXANDER MNYETI AKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO MANYARA

Imechapishwa Tarehe: June 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti leo amekutana na wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Manyara katika kikao kilichoitishwa katika ukumbi wa mikutano uliopo katika jengo la Mkuu wa Mkoa ili kujadili fursa mbalimbali zipatikanazo katika Mkoa huo.

Akiongea katika kikao hicho kilichohudhuriwa na wadau wa maendeleo kutoka wilaya zote tano za Mkoa huo Mh.Mnyeti aliwahimiza wadau hao kujitokeza kuanzisha viwanda vipya na kufufua viwanda vilivyokufa hasa katika maeneo ya kilimo,ufugaji,misitu,madini na utalii Mkoani Manyara kwani malioghafi za viwanda zinapatikana kwa urahisi Manyara na pia kutaewaletea ajira wananchi wa Manyara na Tanzania kwa ujumla.

Mh. Mkuu wa Mkoa pia alisisitiza kuwa ifikapo Disemba Mwaka 2018 Mkoa wa Manyara itafikia lengo la kuanzisha viwanda 100 ili kutimiza ahadi ya Rais kuwa kila Mkoa kuwa na viwanda 100 kwani mpaka sasa mkoa umeanzisha viwanda 68 kati ya 100 vinavyohitajika.

Vilevile Mh.Mnyeti alizitaka Halmashauri zote saba zilizopo Mkoanio kwake kuhakikisha zinatenga asilimia tano kwa ajili ya vijana na kinaMama na kuwakopesha bila riba ili kuwawezesha kujikwamua na umaskini.

Akiwasilisha mada katika kikao hicho Mtaalam kutoka TIRDO Dkt.Mushi aliwaambia wadau wa maendeleo kuwa Mkoa wa Manyara ni miongoni mwa mikioa yenye hali ya hewa nzuri inayokubali kila aina za mazao hivyo kuwahimiza kuwekeza mkoani humo.

Wakichangia mada wadau wa maendeleo mkoani humo wamemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuwaita na kuwaleta wataalam kutoka TIRDO ili kuwafahamisha fursa mbalimbali zipatikanazo mkoani humo.

Mkoa wa Manyara una fursa kama za kilimo cha Mahindi,ufuta,alizeti,mtama,ngano na maharage pia wawekezaji wanaweza kuwekeza kwenye viwanda vya kusindika bidhaa hizo.vilevile kuna fursa za kuanzisha machimbo ya madini, viwanda vya chumvi,viwanda vya Saruji, viwanda vya asali pamoja na viwanda vya mazao ya misitu.

Imeandikwa na: Haji A.Msovu(Afisa Habari Mkoa wa  Manyara)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu Miradi ya Maendeleo

    March 18, 2023
  • SERIKALI YATOA MAAGIZO MGOGORO WA ARDHI KIRU

    February 13, 2023
  • MITI MILIONI 10.5 KUPANDWA MANYARA

    January 27, 2023
  • RC MAKONGORO AMESEMA WALIOCHAGULIWA WATAINGIA DARASANI BILA USUMBUFU WOWOTE

    January 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru 2022 Mkoa wa Manyara
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.