• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Huduma ya Elimu

Mkoa wa Manyara una jumla ya Shule za Msingi 669 (Serikali 620 na binafsi 49) na Shule za Sekondari 172 (Serikali 153 na Binafsi 19) katika Halmashauri saba za Mkoa. Mwaka 2021 Shule za Msingi zina jumla ya wanafunzi 370,121 na sekondari wapatao 63,749.

Shule za Sekondari Kidato cha 5 na cha 6 

Mkoa wa Manyara unazo shule 23 za kidato cha 5 na 6, ambazo ni miongoni mwa shule 172 zilizotajwa hapo juu, kwa mchanganuo ufuatao: Babati (W) Shule 2, Babati Mji Shule 4 (moja ya Serikali) Hanang Shule 4, Kiteto Shule 2, Mbulu (W) Shule 2, Mbulu Mji Shule 6 (Tatu za Serikali) na Simanjiro Shule 3. Ili kutekeleza agizo la Serikali la kila Tarafa kuwa na shule moja ya kidato cha 5 & 6 Mkoa na Halmashauri zake unaendelea kuhamasisha ujenzi wa madarasa na mabweni ili kuboresha miundombinu katika baadhi ya Shule za kata ziweze kuwa Shule za Kidato cha 5 & 6. Mwaka huu mwezi Julai, Mkoa

unatarajiwa kusajili shule 4 za kidato cha tano na kufanya jumla ya shule 27

Taasisi za Kielimu katika Mkoa 

Katika Mkoa wa Manyara kuna taasisi mbalimbali zinazotoa elimu, taasisi hizi na idadi zake ni kama ilivyo katika mabano; Chuo KiKuu Huria cha Tanzania (1), Vyuo vya Ualimu (2), Vyuo vinavyotoa mafunzo ya ufundi - VETA (4), Chuo cha maendeleo ya Wananchi - FDC (1) na Chuo cha Uhasibu (1)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu Miradi ya Maendeleo

    March 18, 2023
  • SERIKALI YATOA MAAGIZO MGOGORO WA ARDHI KIRU

    February 13, 2023
  • MITI MILIONI 10.5 KUPANDWA MANYARA

    January 27, 2023
  • RC MAKONGORO AMESEMA WALIOCHAGULIWA WATAINGIA DARASANI BILA USUMBUFU WOWOTE

    January 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru 2022 Mkoa wa Manyara
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.