• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Huduma ya Afya

Mkoa una jumla ya vituo 230 vya kutolea Huduma za Afya hadi kufikia mwezi Septemba, 2021. Kati ya hivyo kuna Hospitali 12 zikiwemo 8 za Serikali na 4 za Mashirika ya Dini. Vituo vya Afya vipo 29 kati ya hivyo 22 ni vya Serikali na 7 ni vya Binafsi. Zahanati zipo 185, kati ya hizo za Serikali ni 148 na Binafsi ni 37 (Binafsi zitoazo huduma kwa faida ni 21, Mashirika ya Dini 10) na mashirika ya umma 6.

Huduma za kibingwa katika Mkoa. 

Mkoa wa Manyara una hospitali mbili za rufaa katika ngazi ya Mkoa ambazo ni; Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Manyara yenye madaktari bingwa watano (5) na Hospitali ya Kilutheri ya Haydom yenye madaktari bingwa (8). Huduma za kibingwa zinazotolewa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa ni pamoja na

Upasuaji, afya uzazi na wanawake, magonjwa ya ndani. Aidha huduma zingine za kibingwa (watoto na mfumo wa mkojo) zinapatikana katika Hospitali ya Kilutheri ya Haydom.

Chanjo 

Mkoa unatoa chanjo kwa watoto walio chini ya miaka mitano ili kuwapatia kinga dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa chanjo. Lengo likiwa ni kuhakikisha kiwango cha walengwa wa kupatiwa chanjo kinabaki kuwa zaidi ya asilimia 95 kwa watoto na akinamama. Chanjo zinazotolewa ni pamoja na chanjo ya kuzuia Kifua kikuu, Donda koo, Kifaduro, Pepopunda kwa watoto wachanga, homa ya ini na Kichomi. Chanjo nyingine ni ya kuzuia kupooza (Polio), Surua Rubela, chanjo ya kuzuia kichomi na kuharisha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu Miradi ya Maendeleo

    March 18, 2023
  • SERIKALI YATOA MAAGIZO MGOGORO WA ARDHI KIRU

    February 13, 2023
  • MITI MILIONI 10.5 KUPANDWA MANYARA

    January 27, 2023
  • RC MAKONGORO AMESEMA WALIOCHAGULIWA WATAINGIA DARASANI BILA USUMBUFU WOWOTE

    January 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru 2022 Mkoa wa Manyara
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.