• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Huduma za Maji
    • Kitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma ya Maji
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

Ziara ya Mh. Waziri Muu Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) Wilaya ya Babati

Imechapishwa Tarehe: February 25th, 2017

Mheshimiwa Waziri Mkuu katika Ziara yake ametembelea pia Wilaya yaBabati na kupatafursa ya kufikaKiwanda cha Mbolea –Minjingu katika Kijiji cha Minjingu na Kiwanda cha Sukari cha Manyara katika Kijiji cha Matufa na kufanya mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Minjingu, Matufa, Madunga, Bashnet, Singu na Arri na kutoa majibu ya kero mbalimbali za Wananchi.

Mheshimiwa Majaliwa alikumbana na Changamoto mbalimbali zilizoelezwa na Wananchi katika maeneo hayo ikiwa ni pamoja na shida ya maji, barabara, upungufu wa watumishi katika sekta ya afya, na malalamiko katika shamba la Singu na Arri ambapo aliitolea ufafanuzi changamoto hizo na kuahidi kuendelea kuzitatua ili kuwaletea wananchi Maendeleo.

Aidha Mheshimiwa Majaliwa alikasirishwa na hali aliyoikuta katika Kiwanda cha Minjingu yakutumia vifungashio vinavyotangaza uzalishaji wa mbolea ya Minjingu – Babati kuwa inazalishwa nchini Kenya badala ya Tanzania na kutoa Maagizo kwa Mkurugenzi wa Kiwanda, kumwandikia Mheshimiwa Rais John Pombe Joseph Magufuli barua ya kuomba radhi pia Mhe. Majaliwa apate nakala ya barua hiyo kabla ya kumaliza Ziara yake, tarehe 22 Februari, 2017.Hata hivyo agizo hilo lilitekelezwa na Mheshimiwa Majaliwa alipata nakala hiyo tarehe 21.2.2017.

Hata hivyo,Mheshimiwa Majaliwa alipowasili katika Kiwanda cha Sukari cha Manyara alifarijika sana kuona Mkoa una Kiwanda hicho ikiwa ni juhudi za kuunga Mkono dhamira ya Mheshimiwa Rais ya kuifanya Nchi yetu kuwa ya viwanda na kupunguza uhaba wa Sukari na kutoa ajira kwa wazawa ili waweze kujikwamua na umaskini.

Mheshimiwa Majaliwa,alihitimisha ziara yake katika Mji wa Babati kwa kuweka jiwe la msingi Mradi wa Daraja(boksi Kalvati mbili) katika barabara ya Bonga – Endanachan.Pamoja na Majumuisho na Watumishi alisisitiza uadilifu kwa watumishi katika kuwatumikia wananchi na mapambano dhidi ya dawa za kulevya.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019 July 11, 2019
  • HOTUBA YA WAZIRI MKUU KWA MAAFISA HABARI MWANZA March 19, 2019
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • EWURA YAJA NA VITUO VYA MAFUTA VINAVYOTEMBEA NCHINI.

    November 29, 2019
  • EWURA yawataka wadau wa Mafuta MANYARA Kuepuka kuuza Mafuta Kiholela

    November 29, 2019
  • KAMATI ZA RUFAA ZA UCHAGUZI FANYENI KAZI KWA HAKI- WAZIRI TAMISEMI

    November 06, 2019
  • NANE- NANE KANDA YA KASKAZINI YAFANA

    August 06, 2019
  • Tazama Zote

Video

MNYETI AITAKA HALMASHAURI YA BABATI MJI KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Singida Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 310-Babati

    Simu ya mezani: 027-2510060 ,027-251

    Simu ya kiganjani: 027-2510066

    Barua pepe: ras@manyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki zote zimehifadhiwa @2017 Mkoa wa Manyara