• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

MANYARA KUWA NA MIKOA MIWILI YA KIMADINI

Imechapishwa Tarehe: November 15th, 2018

Mkoa wa Manyara umegawanywa katika mikoa miwili ya ya kimadini ambayo ni Manyara na Simanjiro kutokana na upatikanaji mkubwa wa aina mbalimbali za madini yanayopatina kwa wingi Mkoani Manyara.

Hayo yamesemwa leo na Waziri wa madini Mh. Anjela Kairuki alipokuwa Wilayani Simanjiro katika ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan.

Waziri Kairuki alisema kwa kuwa Mkoa wa Manyara umebarikiwa aina mbalimbali za madini Wizara ya madini imeamua kutenga Mkoa mpya wa Kimadini ambao makao Makuu yake yatakuwa Mirerani ili kuongeza ufanisi wa kazi za madini katika Mkoa huo.

Akiwa katika siku ya pili ya ziara yake  Mkoani Manyara Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan alitembelea na kukagua ukuta katika enero la Madini ya Tanzanite lililopo Mirerani na pia alitembelea kiwanda cha madini ya Kinywe (Graphite) pia kilichopo hukohuko Mirerani Wilayani Simanjiro na kuweka jiwela msingi la kiwanda hicho.

Akiongea na wamiliki pamoja na  wafanyakazi wa kiwanda hicho Mhe.Makamu wa Rais aliwataka wamiliki wa kiwanda hicho kuongeza uzalishaji wa madini ya Kinywe kwani hicho ndo kiwanda pekee kinachozalisha madini ya Kinywe nchini Tanzania.

Madini ya Kinywe yanatumika kutengezea betri za magari,betri za simu pamoja na betri za saa,Vipuli vya mitambo pamoja na kutunza umeme kwa muda mrefu.

Akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais Mkuu wa Mkoa wa Manyara alisema kuwa Mkoa wa Manyara upo katika hatua za mwisho za kukamilisha idadi ya viwanda mia kwa kila mkoa katika kutimiza kauli mbiu ya “Mkoa wangu Kiwanda changu”

Mara baada ya kutembelea kiwanda cha Graphite Makamu wa Rais alifanya mkutano wa hadhara katika Mji wa Orkesumet kwa kuongea na wananchi wa wilaya ya Simanjiro.

Katika mkutano huo aliwataka wananchi kupambana na udumavu,maradhi ya ukimwi,ukeketaji na kuacha kuwaozesha watoto katika umri mdogo.

Kwa upande wa Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa  Mh.Suleiman Jafo alisema kuwa Serikali tayari imeshatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa Makao Makuu ya Wilaya ya Simanjiro pamoja na Jengo la Halmashauri ya Wilaya kabla ya Juni 2019.

Ziara ya Makamu wa Rais inaendelea tarehe 16 Novemba wilayani Babati.

(Kwa picha mbalimbali na Video angalia sehemu ya  Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha na Maktaba ya Video)

Imeandikwa Na: Haji A. Msovu

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Vijana Kiteto wanufaika na Mikopo ya Halmashauri

    January 05, 2021
  • Babati watakiwa kuchangamkia Mikopo ya Serikali

    January 04, 2021
  • Waziri wa Kilimo awataka Wakulima wa ngano kuongeza uzalishaji

    December 24, 2020
  • Njooni muwekeze Manyara- RC Manyara

    December 22, 2020
  • Tazama Zote

Video

Nangwa Sekondari katika muonekano mpya
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2020 Manyara Region . All rights reserved.