• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Huduma za Maji
    • Kitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma ya Maji
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Makubaliano ya Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

HOSPITALI YA MKOA WA MANYARA YAPATA BODI YA USHAURI

Imechapishwa Tarehe: June 19th, 2018


Bodi mpya ya Hospitali ya rufaa Mkoa wa Manyara imezinduliwa leo tarehe 19/06/2018 katika Jengo la Ofisi za Mkuu wa Mkoa Manyara.

Akizungumza katika uzinduzi huo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhandisi Raymond Mushi aliwataka wajumbe wa Bodi hiyo kushirikiana na wataalam ili kuwaletea huduma bora wananchi wa Mkoa wa Manyara na mikoa ya jirani.

Pia aliwahakikishia wananchi wa Mkoa wa Manyara kuanza kupata huduma zote mara baada ya ujenzi kukamilikam kwani kwa sasa baadhi ya huduma kama X-Ray hazipatikani.

Aidha Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliwapongeza wajumbe kwa kuteuliwa kwao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo kwani tangu kuanzishwa kwa hospitali hityo haijawahi kuwa na bodi ya ushauri tangu kuanzishwa kwake.

Akizungumza kabla ya kumkaribisha MMgeni rasmi Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bwana M.A.R Musa aliwahakikishia wananchi kuwa pamoja na hospitali kuwa chini ya Wizara ya Afya,maendeleo ya jamii,jinsia, wazee na watoto lakini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itahakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya kwa kufuatilia maendeleo ya hospitali hiyo.

Akishukuru kwa niaba ya wajumbe wa Bodi hiyo Mwenyekiti wa bodi Dkt.Samwel Ulomi alisema kuwa watajitahidi kadri ya uwezo wao katika kutoa ushauri kwa wataalam wa Hospitali hiyo ili wananchi wafurahie huduma zitolewazo hospitalini hapo.

Wajumbe wa Bodi hiyoni

1.Dkt.Samuel Shilet Ulomi – Mwenyekiti

2.Dkt.Katherine Magali –Katibu

3.Namayani Rapey Edward –Mjumbe

4.Mohamed Arshad Bajwa- Mjumbe

5.Ronald Paul –Mjumbe

6.Dkt.Damas Kayera –Mjumbe

7.Saburi Yakubu –Mjumbe

8.Dkt.Charles Mtabho- Mjumbe

9.Dkt.Yohana Minthey Naasi- Mjumbe

10.Leonard R.Msami –Mjumbe

11.Theonestina Rwechungura-Mjumbe

12.Abdallah Kilobwa-Mjumbe

Imeandikwa na: Haji A.Msovu(Afisa Habari Mkoa wa  Manyara)

Matangazo

  • RATIBA YA MITIHANI KIDATO CHA SITA 2019 February 08, 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019 MANYARA December 17, 2018
  • Matokeo upimaji Kidato cha Pili 2018. January 05, 2019
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Serikali Yaagiza Maafisa Elimu Mikoa na Wilaya Kusimamia Taaluma

    February 18, 2019
  • Jafo Akabidhi Bilioni 137 kwa Mikoa 8

    February 07, 2019
  • Jafo aonyesha mfano wa matumizi bora ya Force Account

    February 07, 2019
  • Jafo alaani watumishi kutumia nguvu dhidi ya wananchi

    February 06, 2019
  • Tazama Zote

Video

Manyara ya pili Kitaifa Miradi ya Maendeleo
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Singida Road

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara@manyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Waliotembelea

https://Dissertation-Writingservice.com

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki zote zimehifadhiwa @2017 Mkoa wa Manyara