Saturday 16th, January 2021
@MBULU
Mkoa wa Manyara unategemea kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Arusha Tarehe 19 August,2018.
Mwenge huo utapokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti katika mpaka wa Arusha na Manyara katika Wilaya ya Babati na kukimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa wa Manyara.
Barabara ya Babati - Singida
Anuani ya Posta: P.O.BOX 310
Simu ya mezani: 027-2510066
Simu ya kiganjani:
Barua pepe: rasmanyara.go.tz
Copyright ©2020 Manyara Region . All rights reserved.