Saturday 16th, January 2021
@Katesh Primary School
Mkoa wa Manyara Kesho tarehe 29 Augusti,2018 utazifanyika uzinduzi wa kampeni ya kupima virusi vya ukimwi kwa hiyari,uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh Wilayani Hanang kuanzia saa mbili Asubuhi kuhutubiwa na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti.
Wananchi wote mnaombwa kuhudhuria uzinduzi huo!!
Barabara ya Babati - Singida
Anuani ya Posta: P.O.BOX 310
Simu ya mezani: 027-2510066
Simu ya kiganjani:
Barua pepe: rasmanyara.go.tz
Copyright ©2020 Manyara Region . All rights reserved.