JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA    
 
 
 
 .: Muundo wa Kiutawala
 .: About us & Contacts
 .: Mission & Dira
 .: Miradi & Programu
 .: Fedha & Bajeti - Taarifa
 .: Nyaraka Mbalimbali
 .: Mipango
 .: Takwimu
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili na Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi, Upimaji & Ramani
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Sheria
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAQs & Forums
 .: Daftari la wageni &Maoni
.: Teknohama (ICT)

.: Tovuti nyingine muhimu

 

Mkoa wa Manyara ulianzishwa mwezi July mwaka 2002, na Makao Makuu ya Mkoa yako kwenye Mji wa Babati, umbali wa Km.167 kutoka mji wa Arusha kupitia barabara kuu ya Kaskazini itokayo Arusha kwenda Dodoma na Singida. Mji wa Babati uko katika njia panda ya kwenda Singida na Dodoma umbali wa Km.163 kutoka Singida na Km.164 kutoka Dodoma.


 
 

 

  Bonyeza hapa kusoma zaidi ...  
     
 
 

HARAMBEE YA ELIMU MKOANI MANYARA
          Mkoa wa Manyara ni moja kati ya mikoa iliyo nyuma kielimu. Ili kukabiliana na tatizo hili Mkoa umejiwekea mkakatiendelevu wa kusimamia na kushauri Halmashauri kuweza

 
     
 
kuboresha mazingira ya kutolea na kuendeleza elimu kwa ujumla. Mkakati huu ni pamoja na kuanzisha Mfuko wa Elimu wa Mkoa utakaosaidia kwa haraka kuboresha miundombinu ya elimu ambayo ni mabweni, dahalia, maabara, vyumba vya madarasa na nyumba za walimu ambavyo ni michache.  
     
  Katika kutekeleza mkakati huu Mkoa na Wilaya imejiwekea malengo ya kuchangia nguvu na fedha ili kuharakisha uboreshaji huo.   
     
 
     
  Ziara ya Mh. Rais Jakaya Kikwete Mkoani Manyara..  
  ..........................................................  
  Warsha ya Viongozi na Watendaji wa Serikali za Mitaa  
  ..........................................................  
  Matokeo ya mitihani kidato cha sita 2008  
 
..........................................................
 
  Fursa za uwekezaji mkoa wa Manyara (EPZ)  
  ..........................................................  
  Katibu Tawala wa Mkoa ahimiza elimu ya njia bora za kilimo.  
  ...........................................................  
  Katibu Tawala wa Mkoa ahimiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa shughuli za serikali.  
  ...........................................................  
  Matokeo ya mitihani kidato cha nne 2008  
     
     
     
 

..................................................

   
HABARI NYINGINE  
     
Nafasi za Kazi / Ajira  
  .....................................................  
Zabuni na Minada  
  .....................................................  
V V U / UKIMWI  
  .....................................................  
Mafunzo ya Ujasiriamali  
  .....................................................  
Ugonjwa wa Alizeti  
  .....................................................  
Mipaka ktk Hifadhi za Misitu  
  .....................................................  
Chanjo ya Ukoma  
  .....................................................  
Warsha ya uwekezaji  
  .....................................................  
Mapato ya Mkoa  
     
Mafunzo ya Upimaji wa Saratani ya matiti na shingo ya uzazi
 
Mafunzo mafupi ya namna ya kupima saratani ya matiti yatakayofanyika kwa wiki moja wilayani Babati yamefunguliwa rasmi na Katibu Tawala wa Mkoa.
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
     
 
  Matukio Yajayo :  
 
       
Mbio za Mwenge Mkoani Aug. 2008
Warsha ya Ujasiriamali Tar. 09 /9/2008
Kikao cha kwanza cha RCC Tar. 09/10/2008
Ziara ya Waziri mkuu Kiwanda cha mbolea cha Minjingu Sept. 2008
Mkutano wa Wakuu wa Wilaya 2008
  ............................................................................................................
  Kwa matukio yajayo zaidi Bonyeza hapa kusoma zaidi  
       
 
     
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
     

 
 
 
 
   
  ENEO BINAFSI    
 
Web Mail
Maoni
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
       
   
    ........................................................  
  Fursa za uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Utalii  
    ........................................................  
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, BABATI, Simu Na. 027 - 2530267, 027 - 2530281/027 - 2530317/027 - 2530237, Fax Na. 027 - 2530294